FOR WEDDING PLANNING, FASHION DESIGNING, ART DIRECTION AND STYLING CALL +255 717 514179

Thursday

Maridadi Fashion Show 23rd Sept Produced By Martin Kadinda

Designer From Arusha
Maya Vintage
Designer From arusha
Faroque Zanzibar
Faroque Abdela Zanzibar
Designer From Arusha




Kazi ya Designer Ally Remtulah

Maridadi Fashion Show Launching Party

Cloudstv walikuwepo kupata mawili matatu
Legendary Faroque Abdela alikuwepo katika party! its always a great pleasure Working with this man
Shukrani za dhati kwa mmoja wa wana Maridadi show for the great hospitality aliyonipatia mimi na Models wote
Top Model in Dar Es Salaam Giver meena, just fresh from Dar.
The Super male model Daxx
Designer Ally Remtulah With Lilian Bulengo

Hayaa Bata Ndefu ya Dj Waxx

Ni tar 30, kitu ndani ya Kempisky Hotel:saa 4usiku mpaka saa 10 usiku... tunakwanjua tu kwakwenda mbele

Wednesday

Speak To My Eyes: Models



Nimezibamba: Pata muonekano





Rihanna afanya Kioja Wakati wa kurekodi video yake Mpya ya "We found love"

Weekend iliyopita mwanadada Rihanna alimshangaza mmliki wa shamba ambalo alikuwa natumia kurekodi video yake mpya!! wakati wa urekodiji wa Video hiyo mwanadada Rihanna alionekana akiwa amevaa siiria na shati kubwa wa juu huku sehemu ya chupi yake ikionekana, Swala hilo lililmshangaza mmliki wa Shamba hilo bwana Alan Graham 61
Akiwa mwenye mshangao Alan anasema sikujua kama kuna swala la nguo za ndani kuonekana katika hili swala, lakini Rihanna aliona ni jambo la kawaida yake
Video hiyo ambayo iliwapa polisi ya ziada ya kuzuia mashabiki waliokuwa wamejazana eneo hilo la kurekodia wakitaka kumuona tu rihanna na hata kupiga naye picha, hata hivyo ilimchukua rihanna dakika 20 tu kuhakikisha anaweka mambo sawa na kuwashukuru mashabiki wote waliyojitokeza eneo lile, alisema " Naipenda Belfast na nawapenda wote, asanteni sana"

Tuesday

Ile Video niliyoiandikia Script si ndio hii hapa sasa?Bob Junior a.k.a. Sharobaro - Nanini : Tanzania best Music of Bongo Fleva

She is A very Hard Working Woman:Jennifer Lopez shooting Papi music video

Tatoos


Kila Kijana Sikuhizi nimeona anakiu ya kuchora tatooz katika mwili wake!! nashindwa kuelewa sababu kubwa ya kukufanya kuchora tatooz ni nini? ni kwakuwa umeona watu wamechora wamependeza na wewe unataka kuchora? or there is specific reason to do so??

Kama kweli we ni mpenzi wa tatoo na undhani ina umuhimu katika maisha yako hakikisha unakubaliana na watu wako wa karibu swala la size na eneo gani la kuchora, kumbuka tatoo will stay in your body for the rest of your life, usije ukajichora leo na baada ya mwaka mmoja unaanza kujutia!!
Ni hilo tu nililotaka kujuzana na wewe mwenye ndoto za kujichora tatoo mwilini mwako

Sunday

Majukumu Yalinibana

Last week nilikuwa kimya upande wa Blog kidogo, hii ni kutokana na kuwa nje ya jiji la dar es salaam, Nashukuru Mungu it was a huge Job lakini nimeikamilisha bila makosa wala lawama kutoka kwa Client wangu, Jiji la Arusha huwa lina show moja kubwa ya mavazi ambayo huwa inalengo la kuchangisha fedha kwa ajili ya kutatua matatizo mbali mbali ya kijamii, kwa mwaka huu maridadi fashion show ilikuwa inachangisha fedha kwa ajili ya kuendesha kituo cha kusaidia wasichana walikubwa na matatizo ya kubakwa
Kwa mwaka jana Mbunifu mahiri wa mavazi Tanzania Mustafar hassanali na Team yake walisimamia swala zima la production, lakini kutokana na kuwa na majukumu mengi ya kiofisi hakuweza kuwa pamopja na team nzima ya Maridadi hivyo Martin Kadinda ndipo nikapata Kazi ya kuproduce show hii!!

Ni show ilikuwa na Watu mia 400 na zaidi na asilimia kubwa walikuwa ni asili ya kigeni!! ndugu zangu kwa kugundua hilo niliamua kuweka blog pembeni nipige kazi: picha za show nzima zitakuja soon, huyo pembeni yangu hapo juu anaitwa Feza Kessy kama mnamkumbuka aliwahi kutingisha kambi ya miss Tanzania mwaka 2005



Katika Launching Party ya show ya Maridadi nikiwa na Model Gyver Meena